The song Amkeni by Tanzanian singer Ney wa Mitego has been banned by the country’s regulatory body. The song was released on July 26th and calls for citizens to wake up amid bad leadership.

The lyrics have a very strong message. Read below;

“Nitakacho ongea, mnaweza ona sio mzalendo, zakendo gani? nchi inaendeshwa kimagendo, wengine mwisho wa wimbo huu mtasema mi mchochezi, ila kila kitu kiko wazi.

AMma yenu analea wezi, ndiyo ana fuga wezi, hapa kikubwa dua, hata report ya CAG yani kodi kila sehemu na bado mnakopa daily baandari mumemuuzia mwarabu na mkataba ni wamilele,” he sings.

The lyrics according to BASATA, are critical and so should not be played on radio stations. In a letter, the representative John W Daffla instructs radio stations to cease playing the new song.

“Vyombo vya habari kutopiga wimbo wa msani Emmanuel Elibariki Kungu (Ney wa Mitego) iutwao amkeni,” it begins the subject matter.

“Kwa mujibu wa BASATA, maudhui ya wimbo huo yana mwelekeo ya kutaka wananchi wasiwe na imani na serikali, kuchochea wananchi kuwa na mapokeo hasi juu ya utelekezaji wa mipango ya serikali yao kwa ujumla. Na kuwa ni wimbo wa uchochezi bain aya serikali ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania na Wananchi wake,” it goes on to add.

The instructions are simple according to the statement

“Hivyo kwa barua hii TCRA inaelekeza chombo chako cha habari kutopiga wimbo huo. Tafashali zingatia maelekezo.”

Even Kenyans are commenting under the comment section of the song.

@10_00Q yani wimbo unakuwa banned kwa kukashifu rais, kujeni kenya sisi tulichoka na rais na hakuna kitu anaeza fanya

@JOMONYARIBOKELVIN From Kenya. This man deserves protection. He speaks truth to power. May Magufuli continue resting in eternal peace. You loved Tanzania passionately.

@dankahideviber2338 Wakikufungia show huku Kenya ntakushabikia online

@SMOC254 tunakuitaji uku kenya, gava yetu inaendeshwa na ahadi za uongo tu, Karibu Kenya Mr Nay

By Mpasho

By admin

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *