Tanzanian singer Rayvanny is in Dubai and making major boss moves.
Record label WCB shared a video of Rayvanny in a stadium full of adoring fans.
Rayvanny launched his own record label Next Level Music (NLM) in March last year, sparking rumors he was exiting Diamond Platnumz’s record label WCB.
“Wasafi ni watu ambao mimi nimefanya nao kazi mpaka nafika hapa nilipo leo. Wameplay part kubwa sana kwa Rayvanny, Mpaka mimi nafungua Next Level na kufanya vyote hivyo wapo wananisupport.
“Ikitokea Rayvanny anatoka Wasafi, inamaana kuwa atawaambia Wasafi kwamba anatoka. Hataambia Instagram wala watu wengine. Ukiskia neno grow, it means move from one place to another. Nilikuwa Rayvanny ambaye alikuwa chini ya label tu, lakini sasa hivi ni CEO mwenye kampuni yake. Hii ina maana kuwa nimegrow kutoka point moja kwenda nyingine.
“Ikifika hatua nataka nifanye kazi mwenyewe, sio vita, mnakaa mnaongea. Lakini kwa sasa Wasafi ni familia yangu,” Rayvanny explained.
Just like his boss Diamond, Rayvanny is winning. In February he was revealed as a brand ambassador of betting firm PM BET on February 19.
He shared the money emoji ‘NEW FAMILY #PmBet 🔥🔥🔥💰💰💰💰💰’
https://classic105.com/rayvanny-taking-music-to-the-next…/

By

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *