Nyota Ndogo has been a victim of public scrutiny for a very long time and she has always been open to address matters that she feels need to be addressed.
Well, she has come out to make it clear that she did not steal anyone’s husband as it was claimed that she stole her husband from another woman.
nyota ndogo
She has also revealed that her husband and his ex wife divorced 25 years ago and it’s not practical for anyone to say she stole a man.
She said, “Niwajulishe kitu kimoja.african pekeake ndio Kuna sheria ya kuoa wake hata ishirini ukipenda…ulaya uwezi kuoa mke mwengine mpaka umpe talaka ulienae na talaka ya huku sio mchezo watu wangu.so kama nimeolewa na bwana ya mwenyewe huku hata singekanya ga ningejificha kenya tu.niliweka picha kitambo na mwanamke aliekua mke wa mume wangu yani mama ya watoto wake na nikawaambia alikua mke wake hivi nikiswahili kigumu ama vipi.toka niliweka Ile picha ndio watu wakaanza kusema nimemuibia mtu bwana watu waliwachana miaka ishirini na tano iliopita iweje Leo museme nimeiba bwana.”
Nyota Ndogo Reveals The Division In Her Family And How It’s Affecting Her
nyota ndogo
She continued, “Post yangu ya jana niliwaombea wanawake wanaotembea na waume za watu but inakaa niwengi kulingana na comment nyingi..wengine wanasema oh wakanyeni waume zenu waache kutongoza nje but kitu hamujui ni sikuizi hata wanawake utongoza waume.so ombi lile lilikua linawaendea wote wawili.pia mujue waume sikuizi wanajua kutongoza kupitia kuwaponda wake zao couse wanajua wanawake wengi uingiana mwanamke akiskia anasifiwa mpaka amemshinda mke.ooh mke wangu vile hivi sijui nini bora apate tu uo uchi.mukiachwa munaanza oh i will tell your wife.ndio waume wengine uamua kuwauwa mipango ya kando yao couse hawataki kuvunjiwa nyumba.”

By

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *