Diamond has responded to Harmonize’s comments made in 2021 slamming him for signing a harsh contract and making his music career difficult eventually parting ways.
On Monday March 14th on Wasafi media, Diamond told Harmonize that he is disrespectful and clout chasing. ‘when someone goes out talking badly about me yani of course zamani nilikuwa naumia sana lakini saa ivi nimekuwa ah ‘
He added ‘mi huwa simchukii mtu. Mwijaku huwa ananipigia simu naongea nae H baba nae huwa naongea nae hatuna noma mi mnyamwezi sina noma naongea na kila mtu pia sometimes wanaweza wakawa wana ku attack kwa ajili na wenyewe kujitafutia riziki ndo maana nikiwa nafikilia naona hamna shida ya kuleteana nao noma….‘
‘Sisi tunatalent sana, mashabiki wanatusupport sana, tunatakiwa tufute mentality za kufikiria kushambuliana wenyewe kwa wenyewe tufikirie kufanya vitu hadi wenzetu wakiona washtuke, wenzetu (Nigeria) wanahasira na dunia, sisi hatuna hasira na dunia unakuta watu wanahasira na Diamond,’
Diamond also opened up about beef with Ali Kiba, saying it is over a song collabo
‘Nilikuwa nataka tufanye nyimbo, So akanikuta studio kwa KGT ambaye alikuwa producer wake, ni kwambia tufanye wimbo, …nikamchezea #LalaSalama, nikasema naweza kufuta verse ya pili halafu ukaingiza yakwako akawa na anasema ah ! sa mi nadhani sijui hakuwa tayari kwenye kufanya verse alichofanya akafanya adlibs, hasa kwenye nyimbo kufanya adlibs za juu haifai, hata shabiki yako akisikia atakuonaje, kwahiyo hakufanya verse nikaona bora nifanye mwenyewe sasa, klwasababu mi niiitaka afanye verse …Ila trust me sina shida na mtu yeyote’
Rayvanny was also named dropped in the interview as many assume they also have beef . He said they are not seen together often because he is busy, not because of issues.
BY CLASSIC 105