KOT have faulted the eyewitness account given by a Kitui man regarding the eventual capture of the htree Kamiti prison escapees.
Paul Mwaniki, is the man who led the capture of the 3 Kamiti prison escapees in Kitui.
He revealed to Citizen Tv how he spotted them and came to the conclusion they were the most sought after prisoners.
Paul Mulati said the three were spotted at Endau Malalani ward.
He said they walked closer to the bushes signaling they are strangers.
Paul also said they didn’t know the mode of transport used in Kitui.
Here is his full accoutn courtesy Citizen.
“Walikuwa na ujanja ingine kwa sababu walikuwa wanaenda zig zag…mara wanavuka barabara wanaenda pande hii…wanatembea kwa msitu, wakiona hiyo msitu imeshikana sana wanaruka tena wanaenda pande hiyo ingine ya barabara,” he said.
“Wanatembea kando ya msitu lakini hawaachi barabara mbali ndio wasipotee…hawajui, ni wageni…hawa watu wamejulikana wakati wameingia Endau Malalani ward, sasa hatujui walifika aje Endau…hatujui walibebwa na gari ama walikuja namna gani.”
“Sisi kama wananchi wazalendo wa nchi ya Kenya, tumefanya juu chini mpaka tukawakamata, hatukuwa tunaogopa…ile kitu tulikuwa tunaogopa zaidi ni vita kutoka nje, si hao, kwa sababu wakati walitoroka tuliona hawana silaha,” he stated.
@Peter_CO_Skizeni statement vizuri,”….zile simu zikipatikana, ZITATUAMBIA ni nani alikuwa anawaonyesha njia… ” you can’t a kenyan police officer in plain sight Grinning face with smiling eyes
@Mufutu5
This guy is likely a Teso or a Luo or someone from lower western. He’s too fluent and he’s trying to adopt the locals accent. He said ( pahali ) the change to pande hii. This guy is probably a police officer, an accomplice.
@serem_kigen
Scripted…this guy ni karao. Ona vile amenyoa nywele hata na ndevu. Hii kenya sawa tuu
@ernest_diha
This guy alijipiga selfies ziko online, he is already exposed. But say, he is awarded the 60 Million, he will be able to afford or hire security
BY CLASSIC 105

By

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *